Ee Mama wa Mbinguni, mpaji wa neema, unafuu wa mioyo iliyoteseka, tumaini la wale waliokata tamaa, waliotupwa katika dhiki mbaya sana nimekuja kusujudu kwako ...
Ee Moyo Safi wa Maria, niandalie daima nijilishe kwa Mwili Safi wa Yesu Mwokozi kwa ajili ya kuwaongoa wenye dhambi maskini. Safisha, ee Yesu ...