“Palikuwa na mwanamke mmoja aliyekuwa mgonjwa na pepo muda wa miaka kumi na minane; alikuwa ameinama na hakuweza kusimama wima kwa njia yoyote "(Lk 13, ...
Wakati wa mahubiri na utume wake, Yesu daima alitenda juu ya mateso ya aina mbalimbali, bila kujali asili yake. Kuna baadhi ya matukio, katika ...